Waziri Gwajima Awafunda Wanawake 5 GGML Waliohitimu Mafunzo ya Uongozi
JUMLA ya wafanyakazi watano wanawake kutoka Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wamehitimu mafunzo ya juu ya uongozi na kutakiwa kutumia elimu waliyoipata kwenda kubadilisha kampuni wanazofanyia kazi na jamii zao.…