Vodacom Watoa Msaada kwa Waathirika wa Mafuriko ya Rufiji na Kibiti
Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom kupitia Taasisi ya Vodacom Foundation, imetoa msaada wa kibinadamu wenye thamani ya takribani shilingi milioni 250 kwa ajili ya waathirika wa mafuriko katika maeneo ya Rufiji na Kibiti…