The House of Favourite Newspapers
gunners X

Orijino Komedi Bye Bye!

DAR ES SALAAM: Hatimaye kundi la vichekesho lililojipatia umaarufu mkubwa nchini la Orijino Komedi, limefikia mwisho kwa kusambaratika, huku chanzo kikidaiwa kuwa ni mmoja wa memba wake mwenye mbwembwe nyingi, Silvery Mujuni, maarufu…

Steve: Sing’atuki Hata Kwa Dawa

Steve Nyerere au Tive Ake kama Wema anavypenda kumuita; ni komediani fundi wa michongo kunako Bongo Movies ambaye sakata lake la uteuzi wa kuwa Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania bado linazidi kukolea zaidi huku wasanii…

Nyie Mai Zumo Anatisha Mjue

MAMA wa mtoto komediani Mai Zumo, Habiba Zumo anasema ni faraja na hatua nzuri kwa mzazi kuona mafaniko ya kipaji cha mtoto wake. Kama utakumbuka, Mai Zumo amewahi kutisha baada ya kushinda Tuzo ya Mama’s Gala Awards kama Mtoto…

Hofu Yatanda Walipo Mastaa Hawa!

MIONGONI mwa sintofahamu inayoendelea ni kutojulikana alipo aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Mikalla aliyeng’ara kwenye Filamu ya The Lost Twins akitumia jina la Anita; filamu iliyoandaliwa na aliyekuwa kinara wa tasnia hiyo, marehemu…

Baba Levo: Niuweni

KOMEDIANI ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Clayton Chipando almaarufu Baba Levo anasema kuwa, endapo ngoma yake ya Hellow haitatrendi, basi watu wamuue. Alhamisi iliyopita, Baba Levo alisema kuwa, anatarajia kuachia ngoma hiyo mpya.…

Gladness Kifaluka Ajipa Umalkia

KOMEDIANI matata wa kike Bongo, Gladness Kifaluka ‘Pili Kitimtim’ anasema kuwa kwa wasanii wa kike wa uchekehaji Bongo, yeye ndiye umalkia kamili. Akistorisha na IJUMAA SHOWBIZ,Galadness anasema hakuna komediani wa kike…