The House of Favourite Newspapers

Lulu Diva Anataka Ndoa, Mtoto

BAADA ya kumpoteza mama yake mzazi miezi michache iliyopita, mrembo kutoka kiwanda cha Bongo Fleva, Lulu Diva amefunguka kuwa, anaomba Mungu ampe mume au mtoto kwa sasa kwa sababu anaona muda wa kufanya hivyo umefika. Diva…

Lulu: Sijawahi Kupanda Bodaboda

ELIZABETH Michael au Lulu ni mwigizaji ambaye ni nembo ya Bongo Movies kwani alianza kuigiza akiwa na umri wa miaka mitano pekee! Lulu amejikuta kwenye mabishano makali na baadhi ya wafuasi wake kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudai…

Lulu: Wala Hata Siwacheki

ELIZABETH Michael almaarufu Lulu ametoka mbali mno na tasnia ya Bongo Movies tangu akiwa na umri wa miaka mitano hadi sasa ni mke na mama wa mtoto mmoja ambaye anasema kuwa, hawezi kuwacheka mastaa ambao wanakwenda kufanya sajari…

Lulu Diva: Nawashukuru Sana

MUIGIZAJI na msanii wa Tanzania, Lulu Diva amewashukuru wote waliomshika mkono kipindi mama’ke mzazi alipofariki dunia. Lulu Diva ametoa shukrani zake za dhati kwa mashabiki wake na Serikali kwa mchango waliotoa wakati…

Lulu Atema Nyongo kwa Wema

Kimeumana ile mbaya! Kwa mara ya kwanza, baada ya kusambaa kwa ubuyu kwamba ana ugomvi na staa mwenzake wa Bongo Movies, Wema Sepetu, Elizabeth Michael au Lulu amevunja ukimya. Kabla ya Lulu kufunguka kilichomkwaza kwa Wema,…

Amber Lulu Amtamani Jux

MSANII wa muziki Bongo, Amber Lulu amesema amepanga kuzaa watoto watano ambapo kila mtoto atakuwa na baba yake. Lulu amesema hayo akidai kwamba sababu kuzaa kila mtoto na baba yake ni kwamba akizaa na baba mmoja kisha…