RC Makonda Ataka Boda Ya Namanga Kutumia Teknolojia Za Kisasa Katika Utendaji
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda, amewataka watumishi wa Kituo cha Huduma ya Pamoja Namanga kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya, kutumia technolojia za kisasa katika utendaji kazi ili kuharakisha utoaji wa huduma kwa…