Mangungu: Simba Haijauzwa, Haitouzwa, Muulizeni Yeye Mo Dewji
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Ally Mangungu amekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni hivi karibuni kuwa klabu hiyo imenunuliwa na mwekezaji Mohammed Dewji 'Mo Dewji'.
Mangungu amesema hayo baada ya kipande cha video…