Mo Dewji Asimulia Mateso ya Kutekwa
BAADA ya kupita mwaka mmoja tangu mfanyabiashara bilionea Afrika na muwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ kutekwa, kwa mara kwanza amesimulia mateso ya siku tisa aliyoyapata wakati wa sakata hilo.
Mo alikumbana…