Aliyezusha Kifo cha Mwakyembe Akamatwa, Kamanda Muliro Aeleza
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, linamewakamata watuhumiwa wawili kwa makosa ya kimtandao kufuatia msako mkali unaoendelea unaofanywa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na kikosi kazi maalum cha kupambana na makosa…