Petit Man: Familia Ndiyo Kila Kitu
MENEJA wa wasanii mbalimbali nchini Tanzania, Hemed Manungwi almaarufu Petit Man anasema kuwa, hakuna kitu kinachompa furaha hivi sasa kama akiwa na familia yake; yaani mkewe na mtoto wake wa kiume kwani kunamfanya asahau shida zote…