The House of Favourite Newspapers

Roman Abramovich Ajiuzulu Chelsea

MMILIKI wa Klabu ya Chelsea, Roman Abramovich ametangaza kujiuzulu nafasi yake ndani ya klabu hiyo ya jijini London. Kujiuzulu kwake kunamaanisha amejitoa kwenye uongozi wa bodi ya klabu, hivyo hatokuwa mtu wa mwisho kutoa tamko na…

Zuchu: Diamond ni Romantic

WAKATI KUKIWA na tetesi mitandaoni kwamba huenda Msanii kutoka lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Zuhura Othman ‘Zuchu’ akavishwa pete siku ya wapendanao na bosi wake Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz,' Zuchu amefunguka rasmi kuwa Platnumz…

Roman Reigns Akutwa na Corona

Bingwa wa Mkanda wa World Wrestling Entertainment (WWE)Universal Championship, Roman Reigns amekutwa na maambukizi ya UVIKO-19 hivyo kuondolewa kwenye game ya WWE Day One PPV iliyofanyika usiku wa jana State Farm Arena huko Atlanta,…

Roma Fundi wa Kukinukisha Bongo

ROMA Zimbabwe ndilo jina analotumia kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Kama kawaida yake rapa huyu bora Bongo ambaye kwa sasa maskani yake ni Marekani, amezua mjadala baada ya kusambaa vipande vya video fupi vinavyomuonesha…

Roma Awalipua Madaktari Hawa!

RAPA maarufu nchini Tanzania ambaye kwa sasa yupo Marekani, Roma Mkatoliki, amefunguka ya moyoni kuhusu baadhi ya madaktari kutaka wajawazito wanaokwenda kujifungua wafanyiwe upasuaji badala ya kujifungua kwa njia ya kawaida kwa…

Kauli ya Roma Yazua Gumzo

KAULI ya staa wa muziki wa Hip Hop, Ibrahimu Musa ‘ROMA’ kwamba ni ana miezi sita hajashiriki tendo la ndoa na mkewe, imezua gumzo la aina yake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Roma ambaye yupo nchini Marekani aliandika…

Stamina: Naweza Kusimama Bila Roma

RAPA mkali Bongo, Bonventure Kabogo ‘Stamina Shorwe-bwenzi’ amejimwambafai kuwa, anaweza kusi-mama mwenyewe bila rapa mwenzake, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ wanaounda muunganiko wa ROSTAM. Akistorisha na OVER ZE WEEKEND,…

Mwakyembe Amkingia Kifua Roma

SIKU chache baada ya staa wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ kuachia wimbo unaokosoa Serikali wa Naitwa Roma, Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe, amemkingia kifua mwanamuziki huyo.  Awali,…

Kumekucha! Polisi wamsaka Roma

DAR ES SALAAM: Kumekucha tena! Baada ya ukimya mrefu kupita tangu apate msala wa kutekwa na watu wasiojulikana, mkali wa michano ya Hip Hop, Bongo, Ibrahim Musa ‘Roma’ amekwaa skendo nyingine; safari hii anasakwa na polisi kwa kujipatia…