Rommy Jones Aanika Kuhusu Picha Zake za Utupu, Aomba Radhi kwa Watanzania
KAKA wa Msanii Diamond Platnumz, Rommy Jones almaarufu RJ the DJ kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu sakata la picha za utupu wake kuvujishwa mitandaoni na mwanaharakati mmoja wa kimitandao kupitia ‘app’ yake.
RJ amechukua fursa…