Tags:
Said Mrisho na Mkewe Wakutana LIVE
Kijana Said Mrisho aliyetobolewa macho na mtu anayedaiwa kuwa ni, Salum Njwete ‘Scorpion’, ambaye hivi karibuni alidaiwa kumtelekeza mkewe, Stara Sudi ‘Mama D’ na watoto wanne, sasa wanandoa hao wamekutana LIVE.
Unataka…
VIDEO: Said Mrisho Aliyetobolewa Macho Afunguka Sakata la Kuitelekeza Familia
SINEMA linaendelea. Ikiwa ni siku moja tu Bi. Stara Soud, mke wa kijana alinayedaiwa kutobolewa macho na mtu mmoja anayetajwa kwa jina la Saluma Njwete ‘Scorpion’, Said Mrisho, kuibuka na madai mazito ya kutelekezwa na mumewe,…
Said Mrisho Aliyetobolewa Macho na Scorpion Adaiwa Kufumaniwa!
SAID Mrisho, yule kijana aliyedaiwa kutobolewa macho na mtu anayetambulishwa kwa jina la Salum Njwete ‘Scorpion’, baada ya kudaiwa kumtelekeza mke na watoto, amekwaa balaa jingine ambapo awamu hii amedaiwa kufumaniwa na mkewe…
Kumbe Scorpion Aliyemtoboa Macho Said Siye Aliyefungwa? Samjet Atoka Gerezani, Afunguka -Video
Salum Njwete ambaye mitaa imembatiza jina la Scorpion, ametoka gerezani baada ya kutumikia kifungo cha miaka saba, akidaiwa kumtoboa macho na kumjeruhi vibaya kwa visu kijana Said Mrisho.
Global TV imefanikiwa kuzungumza naye katika…
Msaidizi wa Rais Kikwete Afariki Dunia
Ofisi Binafsi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete imethibitisha kutokea kwa kifo cha Katibu wa Rais Mstaafu, Adam Issara kilichotokea jana Jumatatu, Januari 4, 2022 jioni Jijini Dar es Salaam.
Issara…
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mgeni rasmi katika hafla ya hisani ya ‘Beauty Legacy Gala 2020…
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt.Jakaya mrisho Kikwete atakuwa mgeni wa heshima katika hafla ya hisani ya ‘Beauty Legacy Gala 2020 itakayofanyika Desemba 12, 2020 jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo ina lengo la kuchangisha fedha ambazo…
KOIKA, Exim Bank Waipiga Jeki Shule Ya Mrisho Gambo
Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo Korea (KOICA )limetoa msaada wa wataalamu 10 waliobobea katika masomo ya Sayansi na TEHAMA, kwa shule ya sekondari maalum ya mfano mkoani Arusha ya Mrisho Gambo kwa ajili ya kufundisha walimu…
Benki ya I & M Yachangia Madawati 100 Shule Ya Mrisho Gambo
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako pamoja na balozi wa China hapa nchini,WANG Ke leo wameshiriki uwekaji wa jiwe la msingi la sekondari ya mfano ya masomo ya Sayansi mkoani Arusha iliyopewa…
UNYAMA: BABA wa SAID Auawa KIKATILI, Kisa Chake Kitakutoa Machozi – VIDEO
INGAWA dhahabu ikipitishwa kwenye moto mara kadhaa huzidi kung’aa, lakini binadamu anapopita kwenye majanga juu ya majanga huhuzunika zaidi; ndivyo ilivyo kwa Said Mrisho anayepita kwenye mikasa mingi mizito, Risasi Jumamosi lina habari…
UNYAMA: BABA wa SAID Auawa KIKATILI, Kisa Chake Kitakutoa Machozi – Video
NI mfululizo wa ukatili wa kutisha kati ya wakulima na wafugaji! Siku ya tarehe 26.03.2019 ambapo mtu mmoja afahamikaye kwa jina la Jisu Urembo Tuwa (70) mkazi wa kijiji cha Lukenge Wilayani Kibaha, ambaye ni baba wa Said Mrisho…
USHUHUDA: SAID! Hatasahau Alivyotobolewa Macho na Scropion! – VIDEO
Katika kipindi cha 'Ushuhuda' wiki hii tunaye Kijana Said Mrisho ambaye kwa sasa ni Mlemavu wa Macho yote mawili yaani (KIPOFU) ambaye alipata ulemavu huo miaka kadhaa iliyopita baada ya kutobolewa macho yake na kijana mmoja aliyefahamika…
SAID KATAMBO WA LINDI AIBUKA MSHINDI WA PIKIPIKI DROO YA SABA -VIDEO
Droo ya saba ya Shindano la Tusua Maisha na Global, imechezeshwa Jumanne ya Agosti 7, 2018, saa kumi jioni mubashara kupitia Global TV Online ambapo msomaji Said Katambo wa Nachingwea, Lindi ameibuka mshindi wa pikipiki mpya.
…
GLOBAL HABARI: HUKUMU YA SCROPION YAMTOA MACHOZI SAID
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam imemhukumu mwalimu wa sanaa ya kujihami, ‘Martial Arts’ na msanii wa filamu za kibongo, Salum Njwete maarufu Scorpion miaka 7 jela kwa kosa la kumjeruhi na kumtoboa macho…
SCORPION AANZA KUJITETEA TUHUMA ZA KUMTOBOA MACHO MRISHO
SALUM NJWETE maarufu kama Scorpion anayetuhumiwa kumtoboa macho Said Mrisho, jana alianza kujitetea katika kesi inayomkabili kwenye Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kuhusu kumjeruhi na kumtoboa macho kinyozi Said Mrisho,…
Said wa Scorpion Kufikishwa Kortini
SAKATA la Said Mrisho aliyedaiwa kutobolewa macho na Salum Njwete ‘Scorpion’ na mkewe Stara Sudy, linatarajiwa kufikishwa mahakamani baada ya kushindwa kuelewana ngazi ya Ustawi wa Jamii.
Said na mkewe waliingia kwenye bifu zito siku…
Ndoa ya Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho Yatikisa Dar (Video)
Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho, jana (Jumamosi, Sept. 30,2017) alifunga ndoa ya kifahari na Catherine Mdami, iliyolifanya Jiji la Dar es Salaam lisimame kwa muda kutokana na maandalizi yake bab'kubwa,…
Mrisho Gambo: Mama Yangu Alikuwa Muuza Sambusa, Baba Dalali
MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amesema hali ya umasikini ya katika familia yao ilimfanya ajitume zaidi kutimiza kile alichokiamini katika maisha yake.
Hayo ameyasema leo Jumamosi, Septemba 9 wakati wa Semaina ya Fursa…
Mrisho Ngassa Ajifua Na Pamba
ALIYEKUWA kiungo mshambuliaji wa timu ya Yanga ambaye kwa sasa anakipiga Mbeya City, Mrisho Ngassa, ameonekana akifanya mazoezi ya kujiweka fiti kuelekea ligi kuu msimu ujao akiwa na Pamba FC.
Ngassa ambaye ni kati ya…
SAID WA SCOPION AMGEUZIA KIBAO MKEWE, DNA YATAJWA WATOTO MAPACHA
Ni kuhusu watoto mapacha, mke ampa laana nzito
Songombingo la ndoa ya jamaa aliyetobolewa macho na Scorpion, Said Mrisho na mkewe Stara Sudi ‘Mama D’ juzikati lilichukua sura mpya baada ya Said kumgeuzia kibao mkewe na kusema watoto…
Tuhuma za Kufumaniwa; Said Aliyetobolewa Macho Afunguka Mazito!
UKIMWAGA mboga, mimi namwaga ugali! Siku moja baada ya kuripotiwa kwa habari ya kufumiwa na mkewe wa ndoa, jamaa anayedaiwa kutobolewa macho katika tukio lililoteka hisia za wengi, Said Mrisho amefunguka na kuweka wazi…
Watoto walemavu Arusha Wampa Mrisho Gambo Changamoto Zao
Hivi karibuni lilifanyika kongamano kubwa la watoto wenye ulemavu mkaoni Arusha ambalo lilihudhuriwa na watu mbalimbali na hivyo watoto hao kutumia fursa hiyo kumueleza Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo changamoto…
Mrisho Mpoto Aungana na China Kutokomeza Ujangili Nchini
Mwanamuziki wa Muziki wa Asili Bongo, Mrisho Mpoto ameipokea kwa furaha kauli ya Nchi ya China kutaka kukomesha biashara haramu ya meno ya tembo nchini.
Mpoto alionesha hiyo jana, Jumamosi katika matembezi ya amani yaliyoandaliwa na…
Simulizi ya Mrisho Mpoto: Manji Amuomba Kugombea Ubunge, Amtosa
MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale alipoanika baadhi ya mali zake na pia akaelezea kwa kina kuhusiana na shamba alilolitenga la ekari 35 kwa ajili ya kusaidia vijana kimuziki.
Songa…
Mrisho Mpoto: Atumiwa pesa na Wazungu kujifunza Kiingereza, azila
MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto tuliishia mwaka 2001 alipofanyiwa mpango wa kwenda Marekani kushiriki projekti ya One Hand, Fingers ambayo ilikuwa ikihusisha nchi nyingine kama Kenya, Uganda,…
Aliyetobolewa Macho Na Scorpion Atishiwa Kuuawa -Video
Siku chache zilizopita, Global TV ilifanya mahojiano na Said Mrisho, mhanga wa tukio la kuchomwa visu kisha kutobolewa macho na Salum Njwete almaarufu Scorpion akieleza jinsi maisha yake yalivyobadilika baada ya tukio hilo lililotokea…
Breaking News: Scorpion Ahukumiwa Kwenda Jela, Faini 30m
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam leo Jumatatu, Januari 22, 2018 imemhukumu mwalimu wa sanaa ya kujihami, ‘Martial Arts’ na msanii wa filamu za Kibongo, Salum Njwete maarufu Scorpion miaka saba jela kwa kosa…
ALICHOKISEMA HAKIMU KWENYE HUKUMU YA SCORPION
Hukumu ya mwalimu wa sanaa ya kujihami ‘martial arts’ Salum Njwete maarufu kama Scorpion, ya kumjeruhi na kumtoboa macho kinyozi Said Mrisho leo ilishindwa kusomwa katika Makahama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar kufuatia hakimu aliyekuwa…
Scorpion Yametimia Hukumu Kusomwa Januari 10
Kesi ya kumjeruhi mpaka kumtoboa macho kinyozi, Said Mrisho inayomkabili mwalimu wa sanaa ya kujihami, ‘Martial Arts’ na msanii wa filamu za kibongo, Salum Njwete maarufu Scorpion hatimaye imefikia tamati ambapo hukumu…
Scorpion Akutwa na Kesi ya Kujibu Mahakamani
Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemkuta mshtakiwa Salum Njwete, maarufu kwa jina la ‘Scorpion’ anayekabiliwa na shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha na kujeruhi ana kesi ya kujibu na anatarajiwa kuanza kujitetea, Novemba 14, mwaka huu.…
Aliyetobolewa Macho na Scorpion Aanza Kugawana Mali na Mkewe!
WAKATI lile sakata Linalomuhusu kijana Said Mrisho aliyetobolewa macho na mtu aitwaye, Salum Njwete ‘Scorpion’ kumtelekeza mkewe, Stara Sudi ‘Mama D’ na watoto wanne, likiwa bado bichi, jipya jingine limeibuka ambapo wawili…
Mke Yamkuta Akitoka Kwenye Ngoma!
SOPHIA Mashala ( 29) mkazi wa Kijiji cha Kishapu wilayani Kishapu, mkoani Shinyanga amekuwa katika mateso kwa miaka mitano sasa baada ya kujeruhiwa vibaya kwa kutafunwa pua na fisi akiwa anatoka kwenye ngoma ya mtoto wa…
VIDEO: Aliyetobolewa Macho na ‘Scorpion’ Amtelekeza Mke, Watoto
Kumbukumbu zikiwa bado mbichi vichwani mwa watu juu ya tukio la kutobolewa macho kwa kijana Said Mrisho linalotajwa kufanywa na Salum Njwete ‘Scorpion’, mapya yameibuka yakiihusu familia hiyo kwa kile kinachoelezwa kuwa Said…
Aliyetobolewa Macho na Scorpion… Asimulia Yakukutoa Machozi!
STORI: BRIGHTON MASALU NA ANDREW CARLOS | GAZETI LA IJUMAA
DAR ES SALAAM: Majanga upya! Unaweza sema hivyo kwa maana nyingine baada ya yule kijana aliyetobolewa macho, Said Mrisho kufunguka mambo mazito ya kukutoa machozi ya…
Shahidi Namba 8 Aisogeza Mbele Kesi ya Scorpion
Salum Njwete ‘Scorpion’ akiingia Mahakama ya Mwanzo Ilala, Dar.
Na Richard Bukos na Issa Mnally | GLOBAL PUBLISHERS
Kesi ya kujeruhi na unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili Salum Njwete ‘Scorpion’, anayedaiwa kumjeruhi kwa…
Daktari Atoa Siri Nzito ya Aliyetobolewa Macho
DAKTARI Bingwa wa Macho wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Christine Mataka ambaye alimpokea na kumhudumia, Said Mrisho anayedaiwa kutobolewa macho na Salum Njwete maarufu Scorpion akiwa shahidi wanne katika kesi hiyo upande wa…
Daktari Asogeza Mbele Kesi Ya ‘Scorpion’
Salum Njwete ‘Scorpion’ akiingia Mahakama ya Mwanzo Ilala, Dar.
Mwandishi wa Global Publishers na mtandao huu, Issa Mnally (kulia mwenye kamera) akiwa mahakamani hapo.
Scorpion akiongea jambo na askari Magereza.
Wananchi wakiwa…
Tukio la Scorpion Lajirudia Dar, Mwingine Atobolewa Macho, Tumbo
Rashid Mohammed akieleza alivyotobolewa macho.
Stori: Issa Mnally, Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo la Desemba 31, 2016
DAR ES SALAAM: Hii ni ajabu na kweli! Wahenga walisema hakuna kumbukumbu isiyokuwa na mwenzake, ni kweli kabisa!…
Aliyetobolewa Macho na ‘Scorpioni’ Aanza Kutoa Ushahidi Mahakamani
NA DENIS MTIMA | GPL;
Dar es Salaam: KESI ambayo imekuwa ikivuta hisia za watu wengi jijini Dar na maeneo mengine kuhusu Salum Njwete ‘Scorpion’ ambaye anakabiliwa na kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha na kudaiwa kumjeruhi, Said…
Upelelezi wa Kesi ya Scorpion Wakamilika, Kuanza Kusikilizwa Novemba 30
DAR ES SALAAM: Upelelezi wa kesi ya kudaiwa kumtoboa macho, kumjeruhi tumboni na kumpora fedha na mkufu Said Mrisho inayomkabili mkazi wa Machimbo Yombo jijini Dar es Salaam, Salum Njwele (34) maarufu kama Scorpion umekamilika na kesi…