Sinema ya Husna Sajenti ‘Kuzaa’ na Mondi Yafikia Patamu!
IKIWA ni wiki kadhaa zimepita tangu kuwepo kwa tetesi kuwa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amezaa na aliyekuwa Miss Sinza mwaka 2011, Husna Maulid hatimaye sinema yao imezidi kunoga na kuwafanya watu kuzidi…