Watumishi Watano Tanesco Walilipwa Dola 34,623 Kusafiri Bila Kibali
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema ukaguzi uliofanywa na ofisi yake umebaini kuwa watumishi watano wa TANESCO walilipwa dola za Marekani 34,623 (takribani shilingi milioni 89.3) na kusafiri nje…