The House of Favourite Newspapers

Tundu Lissu Arejea

ALIYEKUWA Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu amewasili nchini Kenya akitokea Ubelgiji anapoishi kwa sasa, ambapo anatarajiwa kuzindua kitabu chake, Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa…

Tundu Lissu Akamatwa na Polisi, Aachiwa

ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amekamatwa na Jeshi la Polisi jioni ya bleo Jumatatu, Novemba 2, 2020 jijini Dar es Salaam. …

Tundu Lissu Aitwa NEC Kujieleza

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt.…

Hatima ya Ubunge wa Tundu Lissu

MAHAKAMA Kuu kesho itaanza kusikiliza maombi ya aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, kumruhusu kwenda Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa Spika wa Bunge, Jobu Ndugai, kumvua nafasi ya ubunge wa jimbo hilo. …

Tundu Lissu Kufanya Ziara Marekani

Mwanasheria Mkuu wa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi katika nchi mbili za Ulaya na Marekani kuanzia Jumatatu, Januari 28, mwaka huu, ambako mbali ya kufanya vikao kadhaa na…