The House of Favourite Newspapers

Nandy: Sijagombana Na Wema

FAUSTINA Charles au Nandy The African Princes; ni malkia wa muziki Afrika Mashariki akiiwakilisha vyema Tanzania ambaye anasema kuwa, hajawahi kugombana na staa mwenzake Bongo, Wema Sepetu Isaac Sepetu na wala hajawahi kumchukulia bwana…

Wema Amrudia Mungu

STAA mwenye nyota zake Bongo, Wema Sepetu amesema baada ya mapito ya muda mrefu amebadili mfumo wake wa maisha na kwamba anafanya dua na kumtegemea Mungu katika mambo yote. Wema anasema pamoja na kubadili mfumo wa…

Wema: Hebu Mniache

SUPASTAA wa Bongo Movies, Wema Sepetu wengi wanamfahamu kama mpenzi wa zamani wa Diamond Platnumz. Baadhi ya wafuasi mitandaoni wamekuwa wakimkejeli Wema kwa kutokuwa na mtoto maishani mwake licha ya kuwa kwenye uhusiano na wanaume…

JB: Kuna Wema Mmoja Tu

KUNA Mwigizaji na director mkubwa wa Bongo Movies, Jacob Steven almaarufu JB amemsifia mwigizaji na mlimbwende wa Tanzania, Wema Sepetu kwamba yupo mmoja tu na hatatokea mwingine. JB ambaye ameigiza filamu nyingi na Wema…

Wema Sepetu Yamkuta Huko

MALKIA wa Bongo Muvi, Wema Sepetu amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushambuliwa kwa maneno makali na baadhi ya mashabiki kufuatia moja ya post aliyoweka kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram. Tukio hilo limetokea leo…