Sababu ya Ndoa za Sasa Kuvunjika Mapema
NAMSHUKURU Mungu kwa kunilinda, kuniongoza na kunijalia pumzi bure ili nizungumze nawe kupitia safu nzuri ya maisha na uhusiano ya XXLove. Mpenzi msomaji wimbi la kuvunjika kwa ndoa nyingi za zama hizi ni kubwa mno, tena wanandoa…