Zari Amkataa Mtoto Wa Mobetto Kuwa Wa Diamond,’Namjua Zuchu Na Tanasha’-Video
Zari The Boss Lady ; ni mwanamama tajiri Afrika Mashariki na baby mama wa staa mkubwa wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz amesema yupo tayari kuwakutanisha watoto wake na mtoto wa kiume wa Hamisa Mobetto, Dylan, ikiwa…