Dorothy Afunguka Zitto Kabwe Kugombea Urais 2025 – Video
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amefunguka tetesi za aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe kugombea nafasi ya urais mwakani 2025.
Dorothy anasema kuwa, bado ni mapema mno na hawezi kumsemea Zitto…