The House of Favourite Newspapers

Mukandara, Zitto Kuunda Kikosi Kazi

MSAJILI wa vyama vya siasa Tanzania, Jaji Francis Mutungi ameteua kikosi kazi cha watu 23 kinachojumuisha makundi mbalimbali cha kupitia hoja zilizotolewa katika mkutano wa wadau wa demokrasia Dodoma. Mwenyekiti atakuwa Profesa Rwekaza…

Zitto Kabwe Akutwa na Covid-19

Kiongozi Mkuu wa ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe amesema alipimwa na kukutwa Virusi vya Corona (COVID 19) baada ya kupatwa na Mafua. Zitto anasema "Chanjo imesaidia kutopata madhara makubwa. Nimekaa eneo tengwa (isolation) ili…

CCM Kumpeleka Zitto Mahakamani

BAADA ya kiongozi ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kudai kuvamiwa na gari tatu za CCM, Katibu wa chama hicho tawala Mkoa wa Kigoma, Kajoro Vyohoroka amesema wanasubiria matokeo yatangazwe wafungue jalada mahakamani la kudhalilishwa na…

Zitto Amuomba Radhi CAG Kichere

KiONGOZI wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe  leo Aprili 11, amemuomba radhi mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kwa shutuma alizomrushia siku za nyuma, akibainisha kuwa kipindi hicho Kichere…

Magufuli Ampa Pole Zitto Kabwe

RAIS   John Magufuli, amempigia simu mgombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini, Zitto Kabwe, kwa lengo la kumjulia hali na kumtakia heri ili apone haraka baada ya hapo jana kupata ajali ya gari na kupata majeraha kadhaa. …