The House of Favourite Newspapers
gunners X

Alikiba Kutoa PPE 200 Kupambana na Corona

0

STAA wa Bongo Fleva, Alikiba,  amesema taasisi yake ya Kiba Foundation itatoa msaada wa mavazi 200 ya wahudumu wa afya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona (Personal Protective Equipment – PPE)  ili yawasaidie wakati wa vita hii ya dunia dhidi ya virusi hivyo hasa wanapowahudumia wagonjwa wa covid-19.

Leave A Reply