Alikiba na Abdukiba Walivyomzika Baba Yao Makaburi Ya Kisutu
BABA wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ally Kiba, marehemu Saleh Kiba ambaye alifariki juzi asubuhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alizikwa jana katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Mazishi hayo yalihudhuriwa na umati wa waombolezaji akiwemo Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalah.
Comments are closed.