The House of Favourite Newspapers

Aliyekuwa CAG Prof. Mussa Assad Atoa Mafunzo ya Uongozi Chadema

Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad ametoa mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Chama wakiwemo Wajumbe wa Kamati Kuu, Sekretarieti ya Kamati Kuu, Makatibu wa Kanda na Viongozi wengine Machi 12, 2025.

 

Katibu Mkuu wa Chama akizungumza kabla ya kuanza kwa warsha ya mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Chama.
Mwenyekiti wa Chama Taifa Tundu Lissu akifungua warsha ya Mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Chama wakiwemo Wajumbe wa Kamati Kuu, Sekretarieti ya Kamati Kuu, Makatibu wa Kanda na Viongozi wengine.