Aliyekuwa Mkurugenzi wa ATCL na wenzake 2 wakutwa na hatia
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemkuta na hatia aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Ndege la Taifa (ATCL), Bw. David Mattaka na wenzake wawili baada ya mashahidi 13 kutoa ushahidi wao mahaakamni hapo.