The House of Favourite Newspapers

Ally Keissy Chali, Chadema Yashinda Nkasi Kaskazini

0

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nkasi Kaskazini amemtangaza Aida Khenani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mshindi wa Ubunge katika Jimbo hilo baada ya kupata kura 21,226 akifuatiwa na Ally Keissy wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyepata kura 19,972.

Leave A Reply