The House of Favourite Newspapers

Antony Martial Asepa Zake Sevilla

0

Klabu ya Sevilla ya Hispania imefikia makubaliano ya kumsajili kwa mkopo winga wa Manchester United na timu ya taifa ya Ufaransa Antony Martial.

Nyota huyo amekosa nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha United na amekuwa akishinikiza kuondoka ndani ya miamba hiyo.

Sevilla wamekubali kulipa mshahara wote wa mchezaji huyo hadi mwezi juni na atasafiri leo kuelekea Hispania kukamilisha taratibu za kujiunga na miamba hiyo iluiyowahi kuja nchini kupepetana na mabingwa wa Tanzania Bara Simba SC.

Leave A Reply