Ray C Atoa Wimbo Mpya wa ‘Confidence’
MWANAMUZIKI Rehema Chalamila ‘Ray C’ ametoa wimbo mpya wa ‘Confidence’ baada ya kupotea kwenye muziki kwa muda mrefu.
Mashabiki wa msanii huyo wamempongeza kwa wimbo huo wakisema anaimba vizuri na wamemtaka kuongeza juhudi ili kushindana na wasanii wa sasa.
Comments are closed.