Wauguzi Hospitali Ya Mwananyamala Wakabidhiwa Mitungi Ya Oryx Gas Na Taasisi Ya Doris Mollel
Dar es Salaam 19 Aprili 2024: Kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wamekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx 50 kwa wauguzi katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam kati ya mitungi 1000…