Author
Global Publishers
Tempo Africa Yazindua Application Maalumu Kurahisisha Huduma Za Kitalii
Jumanne Mei 30, 2023: Sekta ya utalii imepata ahueni ya kipekee katika kuhudumia watalii baada ya kampuni ya Tempo Africa kuanzisha mfumo wa kuhudumia watalii wa ndani na nje ya nchi kwa kutumia application maalumu itakayowawezesha…
Arthshakti Foundation Na Lions Club Dar es Salaam Sky Walivyotoa Matibabu Bure
Dar es Salaam 28 Mei 2023: Taasisi ya Arthshakti Foundation na Lions Club ya jijini Dar es Salaam zimefanya matendo ya huruma kwa wakazi wa Temeke jijini kwa kuwapelekea kambi ya matibabu na kutoa bure huduma za afya kwa watu wa rika…
Dkt. Mpango Aguswa Na Jitihadaza NBC Kuchochea Maendeleo Serikali Za Mitaa
Arusha, Mei 29, 2023: Makamu wa Rais Dkt. Phillip Mpango ameipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kuendelea kusaidia mamlaka za serikali za mitaa nchini na kwa gawio walilotoa kwa serikali na kuwasii wafanye bidii zaidi ili…
KLM Yazindua Daraja Jipya La Chumba Katika Ndege, Kinacholenga Kuongezeka Kwa Usafiri Wa Starehe
Dar Es Salaam, Tanzania Mei 26, 2023 … Dutch National Carrier KLM imeanzisha daraja jipya la chumba linaloitwa Premium Comfort ambalo lipo kati ya daraja la uchumi na daraja la biashara.
Hii Inawalenga wateja wanaotaka kufurahia…
Wabunge Wafurahishwa Na Utekelezwaji Wa Mradi Wa Bomba La Mafuta Ghafi EACOP
Wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameusifu mradi wa bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) kwa kutoa fidia nzuri kwa waliopitiwa na mradi huo na kutoa kipaumbele katika maeneo mengine ikiwemo utunzaji…
Coca-Cola Kwanza, Oryx Gas And Institute Of Social Works Supports Young Food Vendors In Dar
Coca-Cola Kwanza has partnered with Oryx Gas and the Institute of Social Work to launch this year’s ChipsikaKiajirana Coke, a youth economic inclusion project aimed at supporting more than 1,100 young food vendors in the streets of…
DC Jokate Mwegelo Aishukuru Lions Club International Kuungana Na Serikali Kuboresha Huduma Za Afya
Dar es Salaam, 26 Mei 2023: MKUU wa Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga Jokate Mwegelo amelishukuru Shirika la Lions Club International katika juhudi zake za kuungana na Serikali katika kuboresha huduma ya afya wilayani humo.
Jokate…
Wajawazito Korogwe Kuoneshana Umwamba Kwenye Mbio Za ‘Mamathon’ Mei 28
Tanga: NI Mei 28 Korogwe! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea tukio kubwa la mbio za wanawake wajawazito ambazo zitafanyika siku hiyo wilayani Korogwe mkoani Tanga ambapo lengo ni kuokoa afya za wanawake ndani ya wilaya hiyo.…
Benki Ya NBC Yazindua Rasmi Usajili Wa Mbio Za NBC Dodoma Marathon 2023
Dar es Salaam, 23 Mei 2023. Benki ya NBC imetangaza kufanyika kwa mbio kubwa za NBC Dodoma Marathon mwaka 2023 siku ya Jumapili tarehe 23 Julai 2023mkoani wa Dodoma.
Lengo kuu la mbio za NBC Dodoma Marathon ni kukusanya fedha ili…
Uzinduzi Wa Ligi Ya Upendo Super Cup Si Mchezo, Maendeleo Bank Wanogesha Mambo
Dar es Salaam 21 Mei 2023: Uzinduzi wa Kombe la Upendo Super Cup linaloshirikisha sharika mbalimbali za Kanisa ya Kanisa Kiinjili Kilutheri jijini Dar es Salaam umefanyika katika Viwanja vya Mabibo Makuburi jijini na kushirikisha timu…
Shule Ya St. Mary Goreti Yaotesha Miti 2000 Kilimanjaro
Shule ya sekondari St. Mary Goreti iliyoko Moshi, mkoani Kilimanjaro, imepanga kuotesha miti 2,000 mkoani humo ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kupanda miti na kurudisha uoto wa asili.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa shule hiyo Sr…
ITM Tanzania Yaadhimisha Miaka 5 Wakati Serikali Ikiahidi Kuwezesha Sekta Ya Rasilimali Watu
Dar es Salaam. Ijumaa Mei 19, 2023. Katika jitihada za kuibua na kuhakikisha ukuaji wa vipaji vya ndani katika soko la ajira linalohitajika kila mara, serikali ya Tanzania itaendelea kujitahidi kuweka sera na kanuni zitakazotoa mwanya…
TAWA Yawaonya Watoto, Wazee Na Wajawazito Marufuku Kufukuza Tembo
Morogoro, 18 Mei 2023: Mamlaka ya Usimamizi Wanyama Pori Tanzania (TAWA) imetoa tahadhari kwa wananchi wanaopakana na mapori ya akiba pamoja na hifadhi kuacha kutembea usiku kama hakuna ulazima ili kuondokana na madhara ya kushambuliwa…
Mbunge Salim Wa Ulanga Awataka TFS Kuwapa Elimu Bodaboda Ili Wasisumbuane
Morogoro 18 Mei 2023: Mbunge wa Jimbo la Ulanga mkoani Morogoro, Mhe. Salim Alaudin Hasham Almas amewaomba Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kuachia pikipiki za vijana wa bodaboda walizozishikilia kwa kosa la ubebaji mkaa bila…
Vodacom Yashirikiana Na TECNO Uzinduzi Camon 20
Meneja Bidhaa za Internet kutoka Vodacom, Samweli Mlole (katikati) na maofisa wa TECNO wakionyesha simu hiyo.
Dar es Salaam 20 Mei 2023: Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Vodacom kwa kushirikiana na Kampuni ya Simu ya TECNO…
Benki Ya NBC Yazindua Huduma Ya NBC Connect Kanda Ya Ziwa
Mwanza Mei 19, 2023: Makampuni pamoja na taasisi mbalimbali ambazo ni wateja wa Benki ya Taifa ya Biashara ya (NBC), sasa wanaweza kupata uzoefu mpya wa huduma za kibenki kupitia huduma ya NBC Connect, ikiwa ni ingizo jipya la huduma za…
Benki Ya Azania, Selcom Washirikiana Kuboresha Huduma Za Malipo Ya Kidijitali
Dar es Salaam, 18 Mei 2023:Benki ya Azania, inayomilikiwa na mifuko ya hifadhi za jamii nchini leo hii wamezindua rasmi ushirikiano na kampuni kinara katika huduma za kifedha na malipo kidijitali ya Selcom, ushirikiano wenye lengo la…
ALP Yazindua Ripoti Ya Soko La Pamoja La Afrika ya Mashariki
Dar es Salaam, Mei 18, 2023. Kampuni inayojihusisha na usimamizi wa shughuli za kisheria katika nchi za Afrika ya Mashariki, ALP East Africa, imezindua ripoti inayohusu taarifa za soko la Pamoja la Afrika ya Mashariki kuangazia huduma…
Serikali Yashauri Vyama Vya Wafanyakazi Kujiunga TUCTA
Morogoro: Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imeshauri vyama vya wafanyakazi ambavyo bado havijajiunga na Shirikisho la vyama hivyo (TUCTA), kujiunga ili kuleta ufanisi kwenye masuala ya wafanyakazi.
Msajili wa…
Benki Ya NBC Yatoa Gawio La Shilingi Bilioni 6 Kwa Serikali
Dar es Salaam Mei 17, 2023: Benki ya NBC leo imetoa gawio la shilingi bilioni 6 kwa Serikali, ikiwa ni sehemu ya faida iliyopatikana katika kipindi cha mwaka 2022. Serikali ni mmoja ya wanahisa wa benki ya NBC, ikimiliki aslimia 30 ya…
Kampuni ya Saruji Ya Chalinze Cement Yafungua Kesi Kuitaka Brela Kuirudisha Kampuni hiyo
KAMPUNI ya saruji ya Chalinze Cement, imefungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ili kumtaka Wakala wa Usajili Biashara na Leseni (BRELA), kuirudisha kampuni hiyo katika daftari la kampuni zilizosajiliwa na kutambulika kisheria…
Tigo Wasaini Mkataba Mpya Awamu Ya 8 Kupeleka Mawasiliano Kata 371
Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo imesaini mkataba mpya wa awamu ya 8 wa kufikisha huduma za mawasiliano maeneo ya vijijini kwa ushiriikiano kati ya Tigo na Mfuko wa mawasiliano kwa wote(UCSAF). Kwa ujumla Tigo…
Mwenyekiti Jumuiya Ya Wazazi CCM Dar Afanya Ziara Wilayani Ubungo, Atoa Maagizo Kwa Viongozi
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Bi.Khadija Said amesema kipindi cha Wazazi Super Cup ni kipindi cha kuingiza wanachama wapya na anategemea kupata tathmini ya wanachama wapya wa Jumuiya ya Wazazi baada ya…
Vodacom Yatangaza Taarifa Ya Mwaka Unaoishia Machi 31, 2023, Yaonyesha Kuimarika Kifaida
Dares Salaam – Mei 12, 2023.Kampuni pekee ya mawasiliano ya simu iliyoorodheshwa kwenye soko la hisa la Dar es Salaam, Vodacom Tanzania Plc, imetangaza taarifa ya ripoti ya awali ya miezi 12 iliyopita inayoishia mwezi Machi 31, 2023…
Viongozi Wa Mbio Za Mwenge Wapanda Miti Bwawa La Mindu, Watoa Maagizo Kwa Bonde La Wami Ruvu
Morogoro: Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Abdala Shaibu Kaimu amewaasa wananchi kuacha kufanya shughuli za kibinadamu karibu na maeneo ya vyanzo vya maji ili kunusuru upotevu wa maji.
Wakati wa zoezi la upandaji miti katika bwala…
PanAfrican Energy Tanzania Yakabidhi Majengo Ya Kituo Cha Afya Kwa Wilaya Ya Kilwa
Kilwa, Lindi Mei 5, 2023. Kampuni ya PanAfrican Energy Tanzania (“PAET”) inayofuraha kutangaza kuwa imemkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Kilwa kituo cha afya ambacho kimejengwa katika kata ya Chumo ikiwa ni sehemu ya uwekezaji wa huduma za…
Serikali Ya Tanzania Yaingia Makubaliano Na Klabu Ya Seattle Sounders Ya Marekani
SERIKALI ya Tanzania imeingia makubaliano klabu ya Seattle Sounders inayocheza Ligi Kuu ya mpira wa miguu ya Major (MLS) Seattle Seahawks inayocheza ligi ya taifa (NFL) na timu ya mpira wa kikapu ya Portland Trailblazers inayocheza…
Wasafirishaji Wa Vifurushi Na Vipeto Nyanda Za Juu Kusini Watakiwa Kuwa Na Leseni
Wasafirishaji wote wa vifurushi na vipeto wanaofanya kazi katika kanda ya nyanda za juu kusini yametakiwa kutumia muda huu wa upendeleo kurasimisha huduma zao za usafirishaji kwa kuchukua leseni kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania…
Upige Mwingi Na Airtel-Kila Mtu Ni Mshindi Ukiwa Na Airtel
Dar es Salaam, Jumatano 3 Mei 2023: Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Airtel Tanzania inayoongoza kwa kutoa huduma bora za mawasiliano pamoja na huduma za kifedha kupitia simu za mkononi, leo imetangaza kuzindua promosheni mpya…
Benki Ya Taifa Ya Biashara (NBC) Yazindua Kampeni Mpya Ya “Shinda Mechi Zako Na NBC”
Dar es Salaam 3, Mei, 2023: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo imezindua kampeni mpya inayojulikana kama "Shinda Mechi Zako na NBC". Kampeni ya "Shinda Mechi Zako na NBC", inalenga kuongeza thamani kwa wateja wa NBC na kukuza…
Huduma Ya NBC Connect Yazinduliwa Mbeya, Kuboresha Huduma Za Kibenki
MBEYA Mei 1, 2023: Benki ya Taifa ya Biashara ya (NBC) imezindua huduma ya NBC Connect, ikiwa ni ingizo jipya la huduma za kibunifu za kidijitali katika mkoa wa Mbeya.
Huduma hiyo ya kisasa ya kidigitali inalenga kuwezesha huduma…
St Mary Goreti Yapongezwa Na Serikali Kwa Ubunifu Kuelekea Jubilee
SERIKALI mkoani Kilimanjaro imeupongeza uongozi wa shule ya sekondari ya St Maria Goreti iliyoko Moshi, kwa ubunifu na juhudi katika kuboresha na kutunza mazingira sambamba na kuboresha afya ndani ya jamii.
Pongezi hizo zimetolewa…
Tigo Washinda Tuzo Ya Kuzingatia Usalama Na Afya Kazini Kwa Mara Nyingine
Morogoro: Kampuni Namba moja nchini kwa utoaji wa Huduma za Kidigitali Tigo Tanzania, Leo Aprili 28 , 2023 imetangazwa ( Kwa mara ya pili sasa ) kama kampuni ya Mawasiliano ya simu namba moja nchini inayozingatia Usalama na Afya mahala…
Waziri Mwigulu Azindua Tawi Jipya La Kisasa La Benki Ya Mwanga Hakika Jijini Arusha
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amehudhuria hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la kisasa la Benki ya Mwanga Hakika (MHB) Arusha, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa benki hiyo kutanua mtandao wake wa huduma za kifedha nchi…
Mradi Wa Ajira Kwa Vijana: Fursa Sawa Kwa Vijana Katika Sekta Ya Viwanda Na Ukarimu
Dar es Salaam: Tarehe 28 Aprili 2023, Forum For International Cooperation (FIC) inafanya Career fair kama moja ya shughuli muhimu za mradi wa Ajira Kwa Vijana chini ya Ajira na Ujuzi kwa Maendeleo Afrika (E4D).
Mpango huu unaungwa…
Wami/Ruvu Kuwaondoa Wanaoishi Chini Ya Daraja La Mto Morogoro
Morogoro, 27 Aprili 2023: Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu imeanza oparesheni ya kusafisha mito iliyopo mkoani Morogoro pamoja na kuwaondoa watu walioweka makazi katika maeneo ya madaraja na kusababisha uharibifu mkubwa wa vyanzo vya…