Wanafunzi Walivyofundishwa Jinsi Ya Kupambana Na Ukatili Wa Kijinsia
Dar es Salaam 6 Desemba 2023: Wanafunzi wa Shule ya Msingi Bombambili iliyopo eneo la Bombambili Kata ya Kivule Wilaya ya Ilala jijini, leo wamefundishwa namna ya kupambana na ukatili wa kijinsia ikiwa ni sehemu ya siku 16 za kupinga…