Balozi Nchimbi: Miaka 3 ya Rais Samia, Kama Miujiza
*Asisitiza uadilifu na uwajibikaji kwa mali za umma*
*Apongeza Serikali Njombe mrejesho kwa wananchi, chama kwa usimamizi*
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, amesema kazi kubwa…