Chongolo Aagiza Tume Ya Taifa ya Umwagiliaji Kusimamia Vizuri Ujenzi Skimu Mkombozi, Iringa
KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ametoa maagizo kwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa Skimu ya umwagiliaji ya Mkombozi iliyopo kwenye Kata ya Mboliboli, Halmashauri ya…