Shamrashamra Za Mapokezi Ya Rais Dkt. Samia Wilayani Busega, Simiyu – Picha
Shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili Wilayani Busega Mkoani Simiyu tarehe 15 Juni, 2025.