Video: Shigongo Awataka vijana Kufanya Kazi, Acheni Kunywa Pombe Hovyo
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amewataka vijana wa Buchosa kufanya kazi kwa bidii ili kujipatia maendeleo, huku akiwaasa kuachana na unywaji wa pombe kupitiliza ambao hauna faida kwao.
Ameyasema hayo alipokuwa katika Kijiji cha…