Moses Kaluwa Agomea Matokeo Uchaguzi Simba Afunguka Mazito, Agomea Kusaini
ADVOCATE Moses Kaluwa, aliyekuwa anawania nafasi ya Mwenyekiti wa Simba kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi Jumapili, ameweka wazi kuwa, hajaridhishwa na matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Murtaza Mangungu.
Kaluwa alisema,…