Aliyetaka Kuvunjiwa Nyumba Arusha Akubali Kumlipa Mwenzie Mbele Ya Waziri Silaa
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amefanikiwa kumaliza mgogoro wa wakazi wawili ambao ni Victoria Chiwangu na Hillary Temu wa jijini Arusha ambao hapo awali Hillary alijenga kwenye kiwanja cha Victoria namba 313…