Lamine Yamal akabidhiwa jezi namba 10 ya Messi Barcelona, asaini Mkataba mpya mpaka 2031
Kinda mahiri wa FC Barcelona, Lamine Yamal, ametia saini mkataba mpya wa muda mrefu na klabu hiyo, ambao utamuweka Camp Nou hadi tarehe 30 Juni 2031. Tangazo hilo lilifanywa rasmi na Barcelona leo Jumanne, na limeambatana na hatua ya…