The House of Favourite Newspapers

Morocco Anukia Geita Gold FC

Siku chache baada ya klabu ya soka ya Geita Gold ya mkoani Geita  kutangaza kuachana na aliyekuwa kocha wake mkuu Fred Felix  Minziro  'Baba Isaya'  taarifa za ndani kutoka ndani ya klabu hiyo zinaeleza kuwa kwa sasa uongozi wa klabu…

Ligi ya Ilemela kuchezeshwa kama UEFA

Ligi ya taifa ngazi ya wilaya ya Imelela jijini Mwanza imefika hatua ya nusu fainali ambapo hatua hiyo inatarajia kuendelea julai 3, mwaka huu kwenye uwanja wa sabasaba jijini hapa kwa timu nne kuonyeshana ubabe katika michuano hiyo.…

IDFA Waendesha semina kwa waamuzi

Chama cha soka Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza  leo kimeendesha Semina ya mafunzo  maalumu kwa waamuzi watakaochezesha mashindano ya ligi ya taifa ngazi ya wilaya hiyo ambayo kwa mara ya kwanza itashirikisha wachezaji walioko…

Ajiua kwa kujipiga Risasi Mwanza

Katika hali isiyokuwa ya kawaida  Mfanya biashara mmoja aliyejulikana kwa jina la  Emmanuel Nyambera Mkazi wa Bwiru Msikitini Wilayani Ilemela  jijini Mwanza  amejiua kwa kujipiga Risasi kifuani kutokana na Migogoro ya kifamilia.…

Baraza aipa sare Dabi ya Kariakoo

Aliyekuwa Kocha mkuu wa Biashara United, Kagera Sugar zote za hapa Tanzania Francis Baraza amesema kuelekea mchezo wa dabi ya kariakoo baina ya Simba na Yanga anaamini mchezo huo utamalizika kwa sare kutokana na timu hizo mbili kucheza…