Barabara za Mawe Mwanza zageuka Kivutio, TARURA kilimanjaro waja kujifunza
Wafanyakazi 25 kutoka Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) Mkoa wa Kilimanjaro wamewasili mkoani Mwanza kwa ziara ya siku 1 ya mafunzo ya namna ya kujenga barabara kwa kutumia teknolojia ya mawe hususani kwenye maeneo ya…