The House of Favourite Newspapers

Hatimaye Mwanafunzi Aliyepotea Mbeya Apatikana

Mwanafunzi Ester Noah Mwanyiru aliyepotea kwa muda wa siku 20 tangu asubuhi ya tarehe 18 Mei 2023 hatimaye amepatikana ndani ya masaa 24 tangu agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutoka akimwelekeza mkuu wa mkoa wa Iringa, Juma Homera…

Erasto Nyoni Kukipiga Namungo Msimu Ujao

Baada ya Wekundu wa Msimbazi Simba kumpa mkono wa kwaheri mchezaji wao Erasto Nyoni hapo jana, Mapema hii leo Nyoni ametangazwa na Namungo kutoka Lindi kwamba atakipiga katika timu hiyo kwa msimu ujao. Kupitia ukurasa wao wa Instagram…