Siri 5 Mwanamke Hapaswi Kumwambia Mumewe Hata kwa Bahati Mbaya
NDOA ni muhimu, na huwa muhimu kwasababu ni kitu kinachowaunganisha mume na mke na kuanzisha familia, na huleta baraka nyingi kama vile watoto na nyinginezo nyingi.
Hatahivyo siku hizi, ndoa nyingi huishia kuvunjika…