The House of Favourite Newspapers

vurugu Za Tanda Chuo Kikuu Cape Town

Mwaka wa masomo 2025 katika Chuo Kikuu cha Cape Town (UCT) ulianza kwa vurugu baada ya wanafunzi kuandamana wakipinga vizuizi vya ada na ukosefu wa makazi. Shughuli za kampasi zilisimama, zikilazimisha uongozi wa chuo kuchukua hatua.…

DRC: Jeshi La Rwanda Limeingia Bukavu

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imesema kuwa jeshi la Rwanda na washirika wake wameingia katika mji wa Bukavu, mashariki mwa nchi hiyo, katika jimbo la Kivu Kusini, na kuwataka wananchi kuwa macho. Wizara ya…

Maalim Seif  Kuombewa Dua Leo 

"Ndugu wananchi wa Zanzibar na Watanzania kwa ujumla, kwa masikitiko makubwa nakujulisheni leo tarehe 17 Februari, 2021, majira ya saa tano asubuhi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amefariki dunia."…

Trump Atangaza Kukutana Na Putin

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Jumapili jioni kuwa atakutana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, katika siku za usoni. Trump anaamini kuwa Putin ana nia ya dhati ya kusitisha mapigano nchini Ukraine. Hata hivyo, hakutaja tarehe…

Kanisa La Nabii Suguye Latimiza Miaka 18

Kanisa la WRM Ministries lililo chini ya @prophet_nicolaus_suguye leo linatimiza Miaka18 tangu kuanzishwa kwake huku Prophet Nicholas Suguye akijivunia makubwa ambayo yametendwa na MUNGU kupitia WRM kwa waumini wake. Kanisa limefanya…

Adakwa Na Gwanda Za JWTZ Akijifanya Mjeda

Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu linamshikilia Emmanuel Mapana (24) maarufu kwa jina la Mchambi mkazi wa mtaa wa Sima, Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu kukutwa amevaa sare za Jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) zenye cheo cha…

Mtoto Wa Elon Musk Azua Gumzo Mitandaoni

Msanii wa muziki wa Kanada anayefanya shughuli zake Marekani, Grimes, amemkosoa vikali aliyekuwa mpenzi wake na baba wa watoto wake watatu, Elon Musk, kwa kumpeleka hadharani mtoto wao wa miaka minne, Lil X, katika mkutano wa waandishi…

DR Congo Yapiga Marufuku Ndege Za Rwanda

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imepiga marufuku ndege zote zilizosajiliwa nchini Rwanda kutumia anga yake kutokana na vita vya uchokozi vinavyoendelea, Shirika la Habari la Kongo (ACP) limetangaza. Uamuzi huu, uliochukuliwa…

DRC Yaishtaki Rwanda Mahakama Ya Afrika

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imewasilisha kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu ICJ kwa madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu. Tuhuma za DRC dhidi ya Rwanda zinahusiana na mzozo uliokumba eneo…

Trump, Musk Wajitokeza Kutetea Uamuzi Wao

Rais Donald Trump amefanya tukio adimu la kujitokeza hadharani pamoja na mshauri wake mwenye ushawishi mkubwa, Elon Musk, katika Ofisi ya Oval, Ikulu ya White House jana Jumanne, Februari 11, 2025, kabla ya kusaini amri nyingine ya…