The House of Favourite Newspapers

Joe Biden na Barrack Obama Wamlilia Shinzo Abe

   Rais Joe Biden akiwa na Shinzo Abe kipindi cha uhai wake RAIS wa Marekani Joe Biden ametoa salamu zake za rambirambi ambapo amesema ‘’amepigwa na butwaa, amekasirishwa na kuhuzunishwa sana.’’ Biden, kama Rais Barack Obama,…

Ukraine Yagoma Kusalimu Amri Kwa Urusi

Mshauri mkuu wa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema Ukraine haipo tayari kusalimisha eneo lake lote kwa Urusi kama nchi hiyo inavyoshinikiza. Alexander Rodnyansky ameyasema hayo wakati akihojiwa katika kipindi cha BBC Radio 4's…

Paula: Nani Kawaambia Nimeachwa

PAULA Kajala; ni mrembo maarufu Bongo hasa kwenye mitandao ya kijamii ambaye hivi karibu amerejea nchini Tanzania kwa ajili ya likizo akitokea masomoni nchini Uturuki anakosomea uuguzi. Paula ambaye ni binti wa staa wa Bongo Movies,…

Nandy: Mapenzi Yanatuumiza

NANDY The African Princess; ni msanii bora wa muziki Afrika Mashariki ambaye ameamua kuwaweka sawa wale wote wanaodhani yeye anafanya kiki au labda kweli uhusiano wake na Billnass au Nenga umevunjika. Hii ni baada ya siku za hivi…