The House of Favourite Newspapers

AY Afunga Ndoa Jijini Dar

MSANII wa Bongo Fleva, Ambwene Yessayah ‘AY ‘ amefunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi, Remy leo katika ufukwe wa bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam.

Ambwene Yessayah ‘AY ‘ (katikati) akiwa na mkewe (wa pili kushoto) kabla ya kufunga ndoa leo katika  ufukwe wa bahari ya Hindi.
AY akiwa na Mwana FA kabla ya kufunga ndoa.

Comments are closed.