The House of Favourite Newspapers

Azam FC Wamtangaza Abdi Hamid Kuwa Kocha Mkuu

0

Klabu ya soka ya Azam imemtangaza Abdi Hamid Moallin kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho kwa mkataba wa miaka mitatu akirithi mikoba ya George Lwandamina.

Awali Moallin aliletwa kushika nafasi ya Mkurugenzi wa Ufundi wa Maendeleo ya Soka la Vijana.

 

“Azam FC ni klabu kubwa, na nililiona hili siku ya kwanza tu nilipofika hapa, nina amini katika klabu hii, nina amini katika uwezo wa klabu hii, klabu hii ina nafasi ya kufanya makubwa,”- Abdihamid Moallin, Kocha Mkuu Azam FC

CEO BARBARA Afunguka ALIVYOSOTA Polisi, DJUMA Amponza MWAMUZI, MUKOKO BYE BYE | KROSI DONGO

 

Leave A Reply