The House of Favourite Newspapers

Azam FC Yapeleka ‘Full Muziki’ Kagera

0

AZAM FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Geroge Lwandamina baada ya kutinga hatua ya 16 kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbuni FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Kagera Sugar.

 

Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho, Machi tatu, Uwanja wa Kaitaba. Jeshi la Azam FC litakaloibuka Bukuba hili hapa:-

1. Obrey Chirwa

2. Prince Dube

3. Hamoudoun

4. Kangwa Bruce

5. Braison Raphael

6. Omary

7. Wadada

8. Mudhathir

9. Nado

10. Awesu

11. Daniel

12. Abdalah

13.Lyanga

14. Maseke

15. Niyonzima

16. Tigere

17. Aziz

18. Charlse Emmanuel

19. Emmanuel Kabelege

20. Mathias Kigonya

21. George Lwandamina

22. Mohamed Yakub

23. Moris Agrey

24. Mpiana Monzinzi

25. Abubakar Idd

26. Vivier Bahati

27. Charandura Nyasha

28. Luckson Jonathan

29. Vincent Madenge

30. Nzawila Yusuph

Leave A Reply