Kiungo mshambuliaji wa Young Africans Sc ametangaza kuwa ataendelea kusalia klabuni hapo kwa msimu ujao wa 2024/25 na kuzima tetesi zilizokuwa zikimhusisha na kuondoka Jangwani baada ya kusaini mkataba mpya.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.