Babu Seya Alivyotinga Kanisani Kufunga Ndoa (Picha +Video)
Mwanamuziki mkongwe Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mkewe, Desderia Haule, Septemba 7, 2019 wamefunga ndoa katika Kanisa Takatifu Katoliki Parokia ya Bikira Maria, Sinza, jijini Dar.
Full Video: NDOA Ya BABU SEYA ILIVYOFANYIKA Leo KANISANI SINZA
Comments are closed.