The House of Favourite Newspapers

Bajeti ya Msimu ujao Yanga ni Bilioni 24.5 Kutumika kwenye uendeshaji

0

Msimu uliopita klàbu ya Yanga ilikuwa na bajeti ya Billion 22.5 kwenye matumizi yake ya kawaida kwa msimu wa 2023/24.

Msimu ujao bajeti hiyo imeongezeka hadi Billion 24.5 ambayo itatumika kwenye uendeshaji wa klabu hiyo kwa msimu wa Ligi wa 2024/25

Mapato ya Yanga Msimu 2023/2024
Udhamini na haki za matangazao bilioni 10.19
Mapato mlangoni bilioni 1
Ada za Wanachama milioni 613
Zawadi za ushindi bilioni 3.9
Mapato mengine bilioni 5

Jumla ya mapato ni Bilioni 21

Bajeti ya Msimu ujao ni Bilioni 24.5 ambapo imeongezeka asilimia kumi tofauti na Msimu uliopita ambayo ni Bilioni 22.

Leave A Reply