JUMAMOSI iliyopita, aliyekuwa rais wa Marekani Barack na Michelle Obama walihudhuria onyesho la wanamuziki Beyonce na mumewe Jay-Z huko Landover, Maryland, nchini Marekani.
Mwanzoni mashabiki wa muziki walikuwa hawajawaona walipokuwa wamekaa ukumbini, lakini baada ya kutambua hilo, “waliwavamia” na kuanza kuwapiga picha kwa simu zao.
Beyonce na Jay wamemaliza ziara yao ya muziki nchini Italia hivi karibuni.
Comments are closed.