The House of Favourite Newspapers

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) Lazuia Matokeo ya Watahiniwa 540 la Saba

0
Kaimu Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani, Athumani Amasi (kushoto) akitangaza matokeo ya mtihani wa elimu ya shule za msingi kwa mwaka 2022, jijini Dar es Salaam.

 

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limezuia matokeo ya watahiniwa 540 kutoka vituo sita vya mitihani ndani ya jiji la Dar es Salaam baada ya kugundulika kufanya udanganyifu.

Wanafunzi hao wanatoka katika vituo vya Joylanda, Castle hill, Green Acress, Maktaba, Great Vision na Mtendeni.

Kutazama Matokeo Darasa la Saba 2021 <<Bofya Hapa>>

Breaking: NECTA Yatangaza Matokeo Darasa la Saba 2022, Yatazame Hapa

 

Necta Yazifungia Shule 24 kwa Kufanya Udanganyifu Mtihani la Saba …Ipo Rweikiza ya Bukoba, Al-hikma Dar

 

Leave A Reply