Baraza la Taifa la Sanaa (BASATA) wametoa pongezi kwa msanii Staa wa Bongo Fleva, Nassibu Abdul, maarufu Diamond Platnumz kwa Kufanikiwa kutajwa kuwania Tuzo ya BET za Mwaka 2021 katika Kipengele cha Msanii anayefanya vizuri Kimataifa.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.