Basi la Msukuma Lapata Ajali Buhalahala Geita
BASI lla Msukuma ambalo linamilikiwa na Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku ‘Msukuma’, limegongana na uso kwa uso na gari dogo lenye namba za usajili T907 DLG katika eneo la Buhalahala mkoani Geita.
Kamanda wa Polisi, Mponjoli Mwabulambo amedhibitisha kutokea kwa ajali hiyo huku akusema bado hajapata idadi ya majeruhi na kama kuna watu waliopoteza maisha.
Comments are closed.