The House of Favourite Newspapers

Basi la Tahmed Lateketea Kwa Moto

0

Moto basi (2)Moto ukilipuka kwenye basi hilo.

Moto basi (1)

Basi likiteketea

Moto basi (3)

Eneo la tukio.

3

Basi la abiria mali ya Kampuni ya Tahmed lililokuwa likisafiri kutoka Tanga kuelekea Dar es Salaam limeteketea lote kwa moto leo wakati likipita katika Barabara ya Chalinze-Segera huku chanzo cha moto huo kikiwa hakijajulikana bado.

Abiria wote waliokuwemo ndani ya basi hilo wamenusurika wakati mizigo yao iliyokuwa ndani ya gari hilo ikiteketea pia.

Leave A Reply