The House of Favourite Newspapers

Batuli: Mastaa Tumrudie Mungu

Yobnesh Yusuph ‘Batuli’.

 

MSANII mwenye mvuto Bongo Muvi, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amewasihi wasanii wenzake wajaribu kumrudia Mungu japo mara moja kwa wiki.

 

Akizungumza na Showbiz Xtra, Batuli alisema kuwa anatambua mastaa wengi wamesahau kusali kabisa na kujua kama kuna Mungu huku wakiendelea kufanya vingi vya kidunia.

 

“Jamani hakuna kitu kizuri kama kuona staa akiwa kanisani au msikitini yaani hata jamii inakuchukulia kwa mtazamo wa tofauti kabisa, tumrudie Mungu,” alisema Batuli.

CUF Wachukua Fomu Ya Kugombea Ubunge Kinondoni

Comments are closed.