Benki ya Exim, Mpango wa Taifa wa Damu Salama Kuendesha Kampeni Mikoa Mitano

Benki ya Exim kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) imeandaa mpango wa kitaifa wa uchangiaji damu ambapo watazunguka kwenye mikoa mitano kuhamasisha wananchi kuchangia damu kwa hiyari.