BillNass ft MwanaFA – Wamepakua Video ya Ngoma Mpya Inaitwa Mazoea
IKIWA ni baada ya kufanya vizuri na wimbo wake wa Chafu Pozi, rapa BillNass ameachia video ya wimbo wake mpya aliomshirikishwa Mwana FA unaokwenda kwa jina la Mazoea.
Tazama video hiyo na kupakua hapahapa.
Good Combination!