Bob Junior Amtaja Harmonize, Diamond – Video
Msanii nguli wa muziki wa Bongo fleva Bob Junior amesema kosa lake ni kukaa kimya kwa muda mrefu na ndio maana alikuwa hasikiki.
Ameongeza kuwa amemsaidia sana Harmonize hadi ameingia kwenye game, na alipoulizwa kuhusu Diamond anamzungumziaje akasema “anatumia ujana wake kwa nguvu, Mungu ambariki.”
Comments are closed.