BREAKING: CAG ATINGA BUNGENI KUJIBU MASHTAKA YAKE – VIDEO
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad leo Januari 21, 2019 ameitikia wito wa Spika Job Ndugai na kufika mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kufuatia kauli anayodaiwa kulidhalilisha Bunge aliyoitoa akiwa nje ya nchi kwa kusema ‘Bunge ni dhaifu’.
Comments are closed.